Kampuni ya bf suma yenye makao yake nchini marekani imeendelea kusambaa na kugusa maisha ya watu nchini tanzania na afrika kwa ujumla, huku maelfu ya watu wakibadilisha maisha yao katika nyanja za afya na uchumi kwa kuongeza kipato na pia kutibiwa maradhi mbali mbali ambayo yamekua sugu na hatimaye kudumaza shughuli za kiuchumi. Katika matukio mbali mbali kampuni hii imejihusisha katika shughuli za kijamii kwa kuwakutanisha watu wengi katika masula tofauti tofauti ya kijamii na hatimaye kufanikisha adhma ya kutatua matatizo katika jamii. Hivi karibuni mikoa mbali mbali ikiwemo Morogoro pamoja na Mbeya imeshuhudia kampuni hii ikishiriki vema kabisa kaitika sherehe na maonysho ya kimtaifa ya kilimo na kuweza kuwafikia maelfu kwa maelfu ya watanzania. Hongera sana bf suma, hongera sana wagavi woote kwa kuyafikia malengo na hatimaye kupunguza mzigo wa tatizo la kiuchumi.
Negativity into minds is among the problems which lead into failure to many of the intrepreneurs, the following steps will help you to silencing the negativity into your mind. 7 Steps To Silencing The Negativity The private conversations you have with yourself can be either a powerful stepping stone or a major obstacle to reaching your goals. If your inner monologue repeats things like, “I’m going to embarrass myself,” or “No one is going to talk to me,” as you walk you into a cocktail party, you probably won’t appear relaxed and approachable. Or, if you’re thinking, “I’m never going to get this job,” in the middle of an interview, you’ll struggle to present yourself in a confident manner. Often, those negative predictions can quickly turn into a self-fulfilling prophecy. Your thoughts greatly influence how you feel and behave which can cause negative self-talk to become downright self-destructive. Telling yourself that you’ll never ...
Kutokana na yafiti zilizofanywa na kampini ya Delloite ya huko majuu(barani ulaya) zimethibitisha kua real madrid bado ni kinara katika umiliki wa pesa huku ikizipiku klabu mashuhuri kam vile Manstester United Chelsea na nyinginezo. kwa ufupi hivi ni viwango vya fedha kwa klabu za soka. 1. Real Madrid: 549.5m (518.9m) • 2. Man Utd: 518m (423.8m) • 3. Bayern Munich: 487.5m (431.2m) • 4. Barcelona: 484.6m (482.6m) • 5. Paris Saint Germain; 474.2m (398.8m) • 6. Manchester City: 414.4m (316.2m) • 7. Chelsea: 387.9m (303.4m) • 8. Arsenal: 359.3m (284.3) • 9. Liverpool: 305.9m (240.6m) • 10. Juventus: 279.4m (272.4m) Source: Deloitte, revenues in euros for 2013-14 season. Note: 2012-13 revenues in brackets
Comments
Post a Comment