CHELSEA YANG'ARA, YASHIKA NAFASI YA PILI.


Fernando Torres















Mchezaji Fernando Torres alimalizia ushindi wa mabao 2 kwa moja dhidi ya Manchester City nakuwaweka vijana wa Mourinho katika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi baada ya kuibuka na ushindi huo wa mabao mawili kwa moja dhidi ya vijana machachari wa Pellegrin. 

Fernando Torres scores Chelsea's winner against Manchester City















katika mchezo huo vijana hao wqa kocha mzoefu majuu, mourinho chelsea walianza kujipatia bao la kwanza kupitia kwa mchezaji wao raia wa ujeruman Schurrle huku bao pekee la man city likiwekwa nyavuni na mshambuliaji mzoefu na hatari sana Sergio Aguero. 

Fernando Torres scores Chelsea's winner against Manchester City 













Mshambuliaji Torres akirudi nyavuni nakuipatia chelsea bao la pili,  

JE TORRES AMERUDI TENA KWENYE FORM? TOA MAONI YAKO HAPA...........

Comments

Popular posts from this blog

KAMPUNI YA BF SUMA YAENDELEA KUGUSA MAISHA YA WATU TANZANIA

KIKOSI KIPYA CHA TAIFA STARS, CHINI YA KOCHA MPYA MZAWA.

SHBIKI WA ARSENAL APOTEZA NYUMBA, NI BAADA YA CLUB YAKE PENDWA KUSHINDWA.