Skip to main content

ROONEY KUIONGOZA MAN UTD KUSAKA USHINDI HUKO ETIHAD STADIUM





Manchester United striker Wayne Rooney. The player says that new manager David Moyes’s “intense” training sessions have helped him rediscover his touch on the pitch. PHOTO\FILE

Weekend hii mastaa wa manchester united watapambana uso kwa uso na mahasimu wao wakubwa manchster city huko Etihad stadium hapo kesho,  Hii ndo itakua mechi yakwanza kwa Manager David Moyes wa Manchester united na  Manuel Pellegrini wa manchester City kupambana kila mmoja akiwa na kikosi chake kipya.

Mshambuliaji maarufa wa kikosi cha manchester united alikaritiwa akikiri kua itakiua ni mechi ngumu sana huku mahasimu wawili wakikutana, japo rooney ameanisha kua mechi hiyo haitaweza kuamua mshindi katika ligi lakini amekiri ugumu wa mechi hiyo kali sana.

Wakati huo huo Manager wa chelsea akijiandaa na mpambano mkali sana dhidi ya mahasimu wenzao vijana  wa london Fulham jumamosi ya leo. katiaka hali ya kawaida manager huyo mwemnye historia kubwa barani ulaya amekaririwa akisema, kujituma na kujiamini ni nguzo kubwa sana katika kuhakikisha kikosi chake kinapata ushindi mnono dhidi ya mahasimu hao Fulham. Hata hivyo ushindi ni  muhimu sana akwa kikosi cha chelsea katika kuhakikisha wanarudisha heshima yao baada ya kupoteza michezo kadhaa katika mechi zilizopita.


Comments

Popular posts from this blog

KAMPUNI YA BF SUMA YAENDELEA KUGUSA MAISHA YA WATU TANZANIA

KIKOSI KIPYA CHA TAIFA STARS, CHINI YA KOCHA MPYA MZAWA.

SHBIKI WA ARSENAL APOTEZA NYUMBA, NI BAADA YA CLUB YAKE PENDWA KUSHINDWA.