Posts

KAMPUNI YA BF SUMA YAENDELEA KUGUSA MAISHA YA WATU TANZANIA

Image
Kampuni ya bf suma yenye makao yake nchini marekani imeendelea kusambaa na kugusa maisha ya watu nchini tanzania na afrika kwa ujumla, huku maelfu ya watu wakibadilisha maisha yao katika nyanja za afya na uchumi kwa kuongeza kipato na pia kutibiwa maradhi mbali mbali ambayo yamekua sugu na hatimaye kudumaza shughuli za kiuchumi. Katika matukio mbali mbali kampuni hii imejihusisha katika shughuli za kijamii kwa kuwakutanisha watu wengi katika masula tofauti tofauti ya kijamii na hatimaye kufanikisha adhma ya kutatua matatizo katika jamii. Hivi karibuni mikoa mbali mbali ikiwemo Morogoro pamoja na Mbeya imeshuhudia kampuni hii ikishiriki vema kabisa kaitika sherehe na maonysho ya kimtaifa ya kilimo na kuweza kuwafikia maelfu kwa maelfu ya watanzania. Hongera sana bf suma, hongera sana wagavi woote kwa kuyafikia malengo na hatimaye kupunguza mzigo wa tatizo la kiuchumi.

DONALD TRUMP ASHINDA UCHAGUZI.

Mgombea kwa tiketi ya Chama cha Republican nchini marekani, ndugu Donald Trump ameushangaza ulimwengu kwa kuibuka mshindi katika mbio za uraisi, ambapo amemshinda mpinzani wake wa karibu kabisa Bibi Hilary Clinton, ushindi huo umekuja baada ya trump kujizolea kura nyingi kutoka kwa watu wanaoishi maeneo ya vijijini pia Na watu wasiokua Na elimu kubwa zaidi.

MMILIKI WA MTANDAO WA FACEBOOK AZURU AFRICA. ALA UGALI NA SATO KENYA

Mmiliki wa mtandao pendwa duniani Facebook azuru barani afrika na kuweka kituo hapo nchini Kenya ambapo alipata fursa ya kula ugali Na Sato. Safari ya mmiliki huyo ilijikita katika kuweka mazingira Salama ya uwekezaji katika sekta ya habari Na mawasiliano kwa njia ya internet, huku Kenya ikiwa Ni miongoni mwa mataifa yanayoongoza kwa ukuaji wa matumizi ya mtandao.

KIKOSI KIPYA CHA TAIFA STARS, CHINI YA KOCHA MPYA MZAWA.

Image
KIKOSI KAMILI: Mwadini Ally-Azam Ally Mustapha-Yanga Mudathir Khamis-KMKM Shomari Kapombe-Azam Michael Haidan-Ruvu Shooting Mohammed Hussein-Simba Mwinyi Hajj-KMKM Nadir Haroub-Yanga Kelvin Yondani-Yanga Aggrey Morris-Azam Hassan Isihaka-Simba Jonas Mkude-Simba Abdi Banda-Simba Simon Msuva-Yanga Said Ndemla-Simba Ramadhan Singano-Simba Salum Telela-Yanga Frank Domayo-Azam Atupele Green-Kagera Sugar Rashid Mandawa-Mwadui Ame Ally-Azam Deus Kaseke-Yanga

ENTREPRENEUR'S SPORTLIGHT, KUTANA NA MJASILIAMALI ALIEFANIKIWA KATIKA HABARI.

Image
   Entrepreneur’s Spotlight: Sharon Mundia, This is Ess - From blogging as a hobby to mediapreneur June 23, 2015 Sharon Mundia started blogging regularly three years ago, right after graduating from Monash University in South Africa with a degree in Marketing and Management. She had always had a passion for literature, even receiving a high school literary award, but practicality won out when it came to choosing an academic major. Luckily for her, the background in marketing came in handy when she started to think of her blog, This is Ess , - which started as an online avenue for sharing little pieces of her life - as a platform on which to build her brand. As her community of readers grew, companies sought her out to advertise their products. Initially, she would feature the free products she received from them without asking for anything in return. Blogging, however, took up time and energy. She realized she would burnout if she could...

REAL MADRID WAIBUKA KINARA KWA UTAJIRI.

Image
  Kutokana na yafiti zilizofanywa na kampini ya Delloite ya huko majuu(barani ulaya) zimethibitisha kua real madrid bado ni kinara katika umiliki wa pesa huku ikizipiku klabu mashuhuri kam vile Manstester United Chelsea na nyinginezo. kwa ufupi hivi ni viwango vya fedha kwa klabu za soka.   1. Real Madrid: 549.5m (518.9m) • 2. Man Utd: 518m (423.8m) • 3. Bayern Munich: 487.5m (431.2m) • 4. Barcelona: 484.6m (482.6m) • 5. Paris Saint Germain; 474.2m (398.8m) • 6. Manchester City: 414.4m (316.2m) • 7. Chelsea: 387.9m (303.4m) • 8. Arsenal: 359.3m (284.3) • 9. Liverpool: 305.9m (240.6m) • 10. Juventus: 279.4m (272.4m) Source: Deloitte, revenues in euros for 2013-14 season. Note: 2012-13 revenues in brackets

Steps To Silencing The Negativity

Negativity into minds is among the problems which lead into failure to many of the intrepreneurs, the following steps will help you to silencing the negativity into your mind. 7 Steps To Silencing The Negativity The private conversations you have with yourself can be either a powerful stepping stone or a major obstacle to reaching your goals.  If your inner monologue repeats things like, “I’m going to embarrass myself,” or “No one is going to talk to me,” as you walk you into a cocktail party, you probably won’t appear relaxed and approachable. Or, if you’re thinking, “I’m never going to get this job,” in the middle of an interview, you’ll struggle to present yourself in a confident manner. Often, those negative predictions can quickly turn into a self-fulfilling prophecy. Your thoughts greatly influence how you feel and behave which can cause negative self-talk to become downright self-destructive. Telling yourself that you’ll never ...

HOW SUPER STARS SPEND THEIR TIME WITH FAMILIES??

Image
THIS WEEKEND IN THIS CORNER, THE EDITOR IS TRYING TO SHARE WITHE READERS HOW SUPERSTARS LIVE AND BEHAVE IN THEIR COMMUNITIES, ONE AMONG THE IMPORTANT STORY FOR THIS WEEKEND IS ABOUT THE SUPERSTAR JAY Z, HE IS THE PARENT TO A  BABY GIRL KNOWN AS BLUE IVY CARTER, APART FROM BEING AMONG THE HIP HOP TOP EARNERS JAY Z IS SAID TO BE VERY LOVELY TO THE FAMILY AND HER BABY,  HERE ARE SOME OF PICTURES SHOWING HIM WITH HIS BABY GIRL.

MAN U'S CARRICK AND BARCA'S MESSI OUT FOR MORE THAN FIVE WEEKS.

Image
Its a bad news for both man U's fans and those of Barcelona towards their important players being out of the pitch for the reported injuries, Carrick will miss several matches including those his club will play against Buyern Liverkusen and Shakter Donesk in the Uefa Champions League.  On the side of Lionel mess will his absence in the pitch give room to his closer competitor Christian Ronaldo, and other strikers to shine and score many goals than him? Or will Brazilian Naymer be able to Replace him?

SAMATA AND ULIMWENGU JOINS THE NATIONAL TEAM.

Image
The straikers Mbwana Samata and homas ulimwengu who are playing football with TP Mazembe, are to join the mainland's national team in their crucial preparations towards the Cecafa Senior Challenge Cup to be held on November 27 to December 12, in Kenya.

SHBIKI WA ARSENAL APOTEZA NYUMBA, NI BAADA YA CLUB YAKE PENDWA KUSHINDWA.

Image
how far do you love your oversees football club is a question many wants to get appropriate answers, Following the news concerning the Ugandan Arsenal fan who lost a house while Manchester fans staking his own car and a wife that man u would triumph. To what extent do you love your football club? to the extent of loosing a house like an Ugandan fan? would you be ready fainting for your football club?